WENYEJI, Dodoma Jiji FC wamelazimishwa sare ya kufungana bao 1-1 na jirani zao, Singida Black Stars katika mchezo wa Ligi Kuu ya NBC Tanzania Bara usiku huu Uwanja wa Jamhuri Jijini Dodoma.
Mabao yote katika mchezo wa leo yamefungwa kwa penalti, Dodoma Jiji FC walitangulia kupitia kwa mshambuliaji, Yassin Mgaza dakika ya 83, kabla ya kiungo Mtogo, Marouf Tchakei kuisawazishia Singida Black Stars dakika ya 90’+6.
Kwa matokeo hayo, Singida Black Stars inafikisha pointi tisa katika mchezo wa sita nafasi ya 11, wakati Dodoma Jiji FC inafikisha pointi saba katika mchezo wa tisa pia nafasi ya 15 kwenye Ligi ya timu 16.
from BIN ZUBEIRY SPORTS — ONLINE https://ift.tt/wgpRQWI
best mesothelioma law firms, mesothelioma attorneys, mesothelioma
lawyer, mesothelioma lawsuits, mesothelioma lawyers, mesothelioma
lawsuit, mesothelioma attorney, mesothelioma settlement, mesothelioma
lawsuit settlements, mesothelioma settlements, mesothelioma law firm,
lawyer mesothelioma, get a online mesothelioma law firm today,
mesothelioma claims, mesothelioma claim, malignant mesothelioma,
mesothelioma law, mesothelioma law firm california, mesothelioma
compensation, mesothelioma law firms, asbestos settlement, asbestos
claim, mesothelioma, asbestos lawsuit, asbestos lung cancer,
mesothelioma law suit, asbestos claims720, asbestos attorney,
mesothelioma lung cancer, mesothelioma causes, asbestos lawyer390,
mesothelioma cancer, asbestos lawsuits, asbestos lawyers, causes of
mesothelioma, asbestos cancer, mesothelioma law suits, what is
mesothelioma, law offices, mesothelioma symptoms
Terimakasih anda telah membaca artikel tentang DODOMA JIJI NA SINGIDA BLACK STARS ZATOKA SARE 1-1 JAMHURI. Jika ingin menduplikasi artikel ini diharapkan anda untuk mencantumkan link https://viralsport.blogspot.com/2026/01/dodoma-jiji-na-singida-black-stars.html. Terimakasih atas perhatiannya.