KLABU ya Yanga imemtambulisha kipa Hussein Masalanga (33) kuwa mchezaji wake mpya dirisha hili dogo akijiunga na Wananchi kutoka Singida Black Stars (33).
Yanga imevutiwa na Masalanga baada ya kuonyesha kiwango kizuri kwenye Fainali za Kombe la Mataifa ya Afrika (AFCON) 2025 nchini Morocco.
Masalanga alidaka mechi mbili ngumu, ya mwisho ya Kundi C Tanzania ikitoa sare ya 1-1 na Tunisia Desemba 30 na ya Hatua ya 16 Bora Taifa Stars ikifungwa 1-0 na wenyeji, Morocco.
Anakuwa mchezaji mpya wa tano Yanga dirisha hili dogo na wa pili tu mzawa, baada ya mshambuliaji Emmanuel Mwanengo kutoka TRA United ya Tabora.
Wengine wapya ni kiungo Mguinea Mohamed Damaro Camara kutoka Singida Black Stars aliyechukua uraia wa Tanzania, winga Mganda Allan Okello kutoka Vipers ya kwao na mshambuliaji, Laurindo Dilson Maria Aurélio ‘Depú’ kutoka Radomiak Radom ya Poland.
from BIN ZUBEIRY SPORTS — ONLINE https://ift.tt/EedBwMK
best mesothelioma law firms, mesothelioma attorneys, mesothelioma
lawyer, mesothelioma lawsuits, mesothelioma lawyers, mesothelioma
lawsuit, mesothelioma attorney, mesothelioma settlement, mesothelioma
lawsuit settlements, mesothelioma settlements, mesothelioma law firm,
lawyer mesothelioma, get a online mesothelioma law firm today,
mesothelioma claims, mesothelioma claim, malignant mesothelioma,
mesothelioma law, mesothelioma law firm california, mesothelioma
compensation, mesothelioma law firms, asbestos settlement, asbestos
claim, mesothelioma, asbestos lawsuit, asbestos lung cancer,
mesothelioma law suit, asbestos claims720, asbestos attorney,
mesothelioma lung cancer, mesothelioma causes, asbestos lawyer390,
mesothelioma cancer, asbestos lawsuits, asbestos lawyers, causes of
mesothelioma, asbestos cancer, mesothelioma law suits, what is
mesothelioma, law offices, mesothelioma symptoms