AFISA habari wa Yanga, Ally Shaaban Kamwe ametozwa Faini ya Sh. Milioni 5 na kupewa onyo la kutorudia kosa la Kimaadili ndani ya miaka miwili kuanzia Aprili 16, mwaka huu (2025).
Naye Afisa Habari wa Simba SC, Ahmed Ally hajakutwa na hatia juu ya makaosa ya Kimaadili yaliyowasilishwa mbele ya Kamati ya Maadilia ya Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) kutokana na kukosekana ushahidi wa kutosha.
Viongozi kadhaa wamechukuliwa hatua todauti kwa makosa ya Kimaadili yaliyowasilishwa mbele ya Kamati hiyo, pigo kubwa likienda kwa aliyekuwa Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Soka Temeke (TEFA), Salehe Mohamed Salehe na waliokuwa Makamu Mwenyekiti Mjumbe wa Kamati ya Utendaji ya Shufaa Jumanne Nyamlani ambao wamefungiwa maisha kujihusisha na Soka.
from BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE https://ift.tt/9xAM0sl
best mesothelioma law firms, mesothelioma attorneys, mesothelioma
lawyer, mesothelioma lawsuits, mesothelioma lawyers, mesothelioma
lawsuit, mesothelioma attorney, mesothelioma settlement, mesothelioma
lawsuit settlements, mesothelioma settlements, mesothelioma law firm,
lawyer mesothelioma, get a online mesothelioma law firm today,
mesothelioma claims, mesothelioma claim, malignant mesothelioma,
mesothelioma law, mesothelioma law firm california, mesothelioma
compensation, mesothelioma law firms, asbestos settlement, asbestos
claim, mesothelioma, asbestos lawsuit, asbestos lung cancer,
mesothelioma law suit, asbestos claims720, asbestos attorney,
mesothelioma lung cancer, mesothelioma causes, asbestos lawyer390,
mesothelioma cancer, asbestos lawsuits, asbestos lawyers, causes of
mesothelioma, asbestos cancer, mesothelioma law suits, what is
mesothelioma, law offices, mesothelioma symptoms
Terimakasih anda telah membaca artikel tentang AHMED ALLY ATOKA SALAMA, ALLY KAMWE APIGWA NA ONYO KALI. Jika ingin menduplikasi artikel ini diharapkan anda untuk mencantumkan link https://viralsport.blogspot.com/2025/04/ahmed-ally-atoka-salama-ally-kamwe.html. Terimakasih atas perhatiannya.