WENYEJI, Pamba Jiji FC wamelazimishwa sare ya kufungana bao 1-1 na Namungo FC katika mchezo wa Ligi Kuu ya NBC Tanzania Bara leo Uwanja wa CCM Kirumba Jijini Mwanza.
Namungo FC walianza kupata bao dakika ya 22 likifungwa na kiungo mkongwe, Jacob Raymond Masawe, kabla ya mshambuliaji Mguinea, Abdoulaye Yonta Camara anayecheza kwa mkopo kutoka Singida Black Stars kuisawazishia Pamba Jiji FC dakika ya 34.
Kwa matokeo hayo, Pamba Jiji FC inafikisha pointi 23, ingawa inabaki nafasi ya 13 ikizidiwa pointi moja na Namungo FC baada ya wote kucheza mechi 24.
from BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE https://ift.tt/N2ST895
best mesothelioma law firms, mesothelioma attorneys, mesothelioma
lawyer, mesothelioma lawsuits, mesothelioma lawyers, mesothelioma
lawsuit, mesothelioma attorney, mesothelioma settlement, mesothelioma
lawsuit settlements, mesothelioma settlements, mesothelioma law firm,
lawyer mesothelioma, get a online mesothelioma law firm today,
mesothelioma claims, mesothelioma claim, malignant mesothelioma,
mesothelioma law, mesothelioma law firm california, mesothelioma
compensation, mesothelioma law firms, asbestos settlement, asbestos
claim, mesothelioma, asbestos lawsuit, asbestos lung cancer,
mesothelioma law suit, asbestos claims720, asbestos attorney,
mesothelioma lung cancer, mesothelioma causes, asbestos lawyer390,
mesothelioma cancer, asbestos lawsuits, asbestos lawyers, causes of
mesothelioma, asbestos cancer, mesothelioma law suits, what is
mesothelioma, law offices, mesothelioma symptoms
Terimakasih anda telah membaca artikel tentang PAMBA JIJI YAAMBULIA SARE KWA NAMUNGO, 1-1 KIRUMBA. Jika ingin menduplikasi artikel ini diharapkan anda untuk mencantumkan link https://viralsport.blogspot.com/2025/04/pamba-jiji-yaambulia-sare-kwa-namungo-1.html. Terimakasih atas perhatiannya.