MABINGWA watetezi, Yanga SC wameibuka na ushindi wa mabao 4-0 dhidi ya Fountain Gate katika mchezo wa Ligi Kuu ya NBC Tanzania Bara Uwanja wa Tanzanite Kwaraa, Babati mkoani Manyara.
Mabao ya Yanga yamefungwa na mshambuliaji wake nyota, Clement Francis Mzize mawili dakika ya 39 na 70 na viungo, Mburkinabe Stephane Aziz Ki dakika ya 43 na Mzambia, Clatous Chota Chama dakika ya 89.
Kwa ushindi huo, Yanga inafikisha pointi 70 katika mchezo wa 26 na kuendelea kuongoza Ligi Kuu kwa pointi 13 zaidi ya watani, Simba ambao hata hivyo wana mechi nne mkononi.
Kwa upande wao Fountain Gate baada ya kupoteza mchezo wa leo wanabaki na pointi zao 29 za mechi 27 sasa nafasi ya 11.
from BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE https://ift.tt/xyihzbf
best mesothelioma law firms, mesothelioma attorneys, mesothelioma
lawyer, mesothelioma lawsuits, mesothelioma lawyers, mesothelioma
lawsuit, mesothelioma attorney, mesothelioma settlement, mesothelioma
lawsuit settlements, mesothelioma settlements, mesothelioma law firm,
lawyer mesothelioma, get a online mesothelioma law firm today,
mesothelioma claims, mesothelioma claim, malignant mesothelioma,
mesothelioma law, mesothelioma law firm california, mesothelioma
compensation, mesothelioma law firms, asbestos settlement, asbestos
claim, mesothelioma, asbestos lawsuit, asbestos lung cancer,
mesothelioma law suit, asbestos claims720, asbestos attorney,
mesothelioma lung cancer, mesothelioma causes, asbestos lawyer390,
mesothelioma cancer, asbestos lawsuits, asbestos lawyers, causes of
mesothelioma, asbestos cancer, mesothelioma law suits, what is
mesothelioma, law offices, mesothelioma symptoms
Terimakasih anda telah membaca artikel tentang MZIZE APIGA MBILI YANGA YAITANDIKA FOUNTAIN GATE 4-0 BABATI. Jika ingin menduplikasi artikel ini diharapkan anda untuk mencantumkan link https://viralsport.blogspot.com/2025/04/mzize-apiga-mbili-yanga-yaitandika.html. Terimakasih atas perhatiannya.