TIMU ya Singida Black Stars imefanikiwa kuingia Nusu Fainali ya Kombe la Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), michuano inayodhaminiwa na Benki ya CRDB baada ya ushindi wa mabao 2-0 dhidi ya Kagera Sugar jioni ya leo Uwanja wa CCM LITI mjini Singida.
Mabao ya Singida Black Stars yamefungwa na kiungo mshambuliaji wa Kimataifa wa Niger,
Adebayor Zakari Victorien Adje dakika ya 11 na mshambuliaji Mghana, Jonathan Sowah dakika ya 66.
Kwa ushindi huo Singida Black Stars itakutana na Simba SC katika Nusu Fainali ambayo iliitoa Mbeya City jana kwa kuichapa mabao 3-1 Uwanja wa Halmashauri ya Manispaa ya Kinondoni, KMC Complex, Mwenge, Dar es Salaam.
from BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE https://ift.tt/EJao4jK
best mesothelioma law firms, mesothelioma attorneys, mesothelioma
lawyer, mesothelioma lawsuits, mesothelioma lawyers, mesothelioma
lawsuit, mesothelioma attorney, mesothelioma settlement, mesothelioma
lawsuit settlements, mesothelioma settlements, mesothelioma law firm,
lawyer mesothelioma, get a online mesothelioma law firm today,
mesothelioma claims, mesothelioma claim, malignant mesothelioma,
mesothelioma law, mesothelioma law firm california, mesothelioma
compensation, mesothelioma law firms, asbestos settlement, asbestos
claim, mesothelioma, asbestos lawsuit, asbestos lung cancer,
mesothelioma law suit, asbestos claims720, asbestos attorney,
mesothelioma lung cancer, mesothelioma causes, asbestos lawyer390,
mesothelioma cancer, asbestos lawsuits, asbestos lawyers, causes of
mesothelioma, asbestos cancer, mesothelioma law suits, what is
mesothelioma, law offices, mesothelioma symptoms
Terimakasih anda telah membaca artikel tentang NI SINGIDA BLACK STARS NA SIMBA NUSU FAINALI KOMBE LA CRDB. Jika ingin menduplikasi artikel ini diharapkan anda untuk mencantumkan link https://viralsport.blogspot.com/2025/04/ni-singida-black-stars-na-simba-nusu.html. Terimakasih atas perhatiannya.