SERIKALI ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania chini ya Mheshimiwa Dk. Samia Samia Suluhu Hasan imegharamia usafiri na malazi kwa klabu ya Afrika kwenye mchezo wake wa marudiano wa Nusu Fainali ya Kombe la Shirikisho Afrika dhidi ya wenyeji, Stellenbosch Jumapili.
Katika barua yake ya shukrani kwa Rais Samia, Rais wa Simba SC, Mohamed 'Mo' Dewji ambaye pia ni Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi amesema; "Tumepokea kwa moyo wa shukrani mchango wa malazi na usafiri kuelekea mchezo wetu wa marudiano wa Nusu Fainali ya Kombe la Shirikisho Afrika dhidi ya Stellenbosch utakaofanyika Afrika Kusini,".

Mo Dewji ambaye ni Mbunge wa zamani wa jimbo la Singida mjini ametoa shukrani pia kwa Wizara ya Fedha na Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo kwa kazi nzuri ya kuratibu safari hiyo.
Kikosi cha Simba SC kimeondoka leo kwa ndege maalum ya Shirika la Ndege la Tanzania (ATCL) waliyopewa na Serikali kikiwa na wachezaji 23 kwa ajili ya mchezo huo wa Jumapili kuanzia Saa 10:00 jioni pia Uwanja wa Moses Mabhida Jijini Durban.
Simba SC inahitaji sare ya aina yoyote kukata tiketi ya Fainali baada ya ushindi wa 1-0 kwenye mchezo wa kwanza wa Jumapili ya juzi Uwanja wa New Amaan Complex, Zanzibar.
Pongezi kwa mfungaji wa bao hilo pekee, kiungo wa Kimataifa wa Ivory Coast, Jean Charles Ahoua dakika ya 45'+2 kwa shuti la kitaalam la mpira wa adhabu lililomshinda kipa wa Afrika Kusini, Oscarine Masuluke.
Mshindi wa jumla Kati ya RSB Berkane ya Morocco na CS Constantine ya Algeria katika Fainali.
Ikumbukwe ilishinda 4-0 kwenye mchezo wa kwanza mabao ya Youssef Mehri dakika ya kwanza, Msenegal, Paul Valère Bassène dakika ya 21 na Oussama Lamlaoui, mawili dakika ya 54 na 90'+2 Uwanja wa Manispaa ya Berkane, Morocco.
from BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE https://ift.tt/b8GslAR
best mesothelioma law firms, mesothelioma attorneys, mesothelioma
lawyer, mesothelioma lawsuits, mesothelioma lawyers, mesothelioma
lawsuit, mesothelioma attorney, mesothelioma settlement, mesothelioma
lawsuit settlements, mesothelioma settlements, mesothelioma law firm,
lawyer mesothelioma, get a online mesothelioma law firm today,
mesothelioma claims, mesothelioma claim, malignant mesothelioma,
mesothelioma law, mesothelioma law firm california, mesothelioma
compensation, mesothelioma law firms, asbestos settlement, asbestos
claim, mesothelioma, asbestos lawsuit, asbestos lung cancer,
mesothelioma law suit, asbestos claims720, asbestos attorney,
mesothelioma lung cancer, mesothelioma causes, asbestos lawyer390,
mesothelioma cancer, asbestos lawsuits, asbestos lawyers, causes of
mesothelioma, asbestos cancer, mesothelioma law suits, what is
mesothelioma, law offices, mesothelioma symptoms