WENYEJI, Dodoma Jiji jana waliibuka na ushindi wa mabao 3-0 dhidi ya Kengold katika mchezo wa Ligi Kuu ya NBC Tanzania Bara Uwanja wa Jamhuri Jijini Dodoma.
Mabao ya Dodoma Jiji yamefungwa na winga Iddi Bahati Kipagwile kwa penalti dakika ya 43, mshambuliaji Paul Peter Kasunda dakika ya 73 na kiungo Mkongo, Mwana Kibuta David dakika ya 81.
Kwa ushindi huo, Dodoma Jiji inafikisha pointi 31 na kusogea nafasi ya saba, wakati Kengold inaendelea kushika katika Ligi Kuu ikibaki na pointi zake 16 baada ya timu hizo zote kucheza mechi 25.
Ligi Kuu inashirikisha timu 16 na mwisho wa msimu mbili zitashuka Daraja na mbili nyingine zitakazomaliza nafasi ya 14 na 13 zitamenyana baina yao na mshindi wa jumla atasalia Ligi Kuu.
Timu itakayofungwa itakwenda kumenyana na timu ya Championship kujaribu tena kubaki Ligi Kuu.
from BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE https://ift.tt/JmVvhqO
best mesothelioma law firms, mesothelioma attorneys, mesothelioma
lawyer, mesothelioma lawsuits, mesothelioma lawyers, mesothelioma
lawsuit, mesothelioma attorney, mesothelioma settlement, mesothelioma
lawsuit settlements, mesothelioma settlements, mesothelioma law firm,
lawyer mesothelioma, get a online mesothelioma law firm today,
mesothelioma claims, mesothelioma claim, malignant mesothelioma,
mesothelioma law, mesothelioma law firm california, mesothelioma
compensation, mesothelioma law firms, asbestos settlement, asbestos
claim, mesothelioma, asbestos lawsuit, asbestos lung cancer,
mesothelioma law suit, asbestos claims720, asbestos attorney,
mesothelioma lung cancer, mesothelioma causes, asbestos lawyer390,
mesothelioma cancer, asbestos lawsuits, asbestos lawyers, causes of
mesothelioma, asbestos cancer, mesothelioma law suits, what is
mesothelioma, law offices, mesothelioma symptoms