TIMU ya Azam FC imeibuka na ushindi wa mabao 2-0 dhidi ya wenyeji, Kengold katika mchezo wa Ligi Kuu ya NBC Tanzania Bara leo Uwanja wa Sokoine Jijini Mbeya.
Mabao ya Azam FC yamefungwa na winga Mgambia, Gibrill Sillah dakika ya 28 na kiungo mshambuliaji, Nassor Saadun Hamoud dakika ya 40.
Kwa ushindi huo, Azam FC inafikisha pointi 51, ingawa inabaki nafasi ya tatu ikizidiwa pointi sita na Simba SC ambayo pia ina mechi mbili mkononi na wote wapo nyuma ya mabingwa watetezi, Yanga wenye pointi 61 za mechi 23.
Kwa upande wao Kengold baada ya kupoteza mchezo huo wanabaki na pointi zao 16 baada ya kucheza mechi 24 na wanaendelea kushika mkia kwenye ligi ya timu 16.
from BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE https://ift.tt/Zsbth04
best mesothelioma law firms, mesothelioma attorneys, mesothelioma
lawyer, mesothelioma lawsuits, mesothelioma lawyers, mesothelioma
lawsuit, mesothelioma attorney, mesothelioma settlement, mesothelioma
lawsuit settlements, mesothelioma settlements, mesothelioma law firm,
lawyer mesothelioma, get a online mesothelioma law firm today,
mesothelioma claims, mesothelioma claim, malignant mesothelioma,
mesothelioma law, mesothelioma law firm california, mesothelioma
compensation, mesothelioma law firms, asbestos settlement, asbestos
claim, mesothelioma, asbestos lawsuit, asbestos lung cancer,
mesothelioma law suit, asbestos claims720, asbestos attorney,
mesothelioma lung cancer, mesothelioma causes, asbestos lawyer390,
mesothelioma cancer, asbestos lawsuits, asbestos lawyers, causes of
mesothelioma, asbestos cancer, mesothelioma law suits, what is
mesothelioma, law offices, mesothelioma symptoms
Terimakasih anda telah membaca artikel tentang AZAM FC YAICHIMBIA KABURI KENGOLD, YAICHAPA 2-0 SOKOINE. Jika ingin menduplikasi artikel ini diharapkan anda untuk mencantumkan link https://viralsport.blogspot.com/2025/04/azam-fc-yaichimbia-kaburi-kengold.html. Terimakasih atas perhatiannya.