WENYEJI, Coastal Union wameibuka na ushindi wa mabao 2-1 dhidi ya Singida Black Stars katika mchezo wa Ligi Kuu ya NBC Tanzania Bara jioni ya leo Uwanja wa Mkwakwani Jijini Tanga.
Mabao ya Coastal Union yamefungwa na viungo Josaphat Arthur Bada raia wa Ivory Coast aliyejifunga dakika ya 47 na Bakari Suleiman Msimu dakika ya 82, wakati bao pekee la Singida Bock Stars limefungwa na mshambuliaji Mghana, Jonathan Sowah kwa penalti dakika ya 76.
Kwa ushindi huo, Coastal Union inafikisha pointi 28 na kupanda kwa nafasi ya tatu hadi ya 10, wakati Singida Black Stars inabaki na pointi zake 50 nafasi ya nne baada ya timu zote kucheza mechi 26.
from BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE https://ift.tt/5xRBvyb
best mesothelioma law firms, mesothelioma attorneys, mesothelioma
lawyer, mesothelioma lawsuits, mesothelioma lawyers, mesothelioma
lawsuit, mesothelioma attorney, mesothelioma settlement, mesothelioma
lawsuit settlements, mesothelioma settlements, mesothelioma law firm,
lawyer mesothelioma, get a online mesothelioma law firm today,
mesothelioma claims, mesothelioma claim, malignant mesothelioma,
mesothelioma law, mesothelioma law firm california, mesothelioma
compensation, mesothelioma law firms, asbestos settlement, asbestos
claim, mesothelioma, asbestos lawsuit, asbestos lung cancer,
mesothelioma law suit, asbestos claims720, asbestos attorney,
mesothelioma lung cancer, mesothelioma causes, asbestos lawyer390,
mesothelioma cancer, asbestos lawsuits, asbestos lawyers, causes of
mesothelioma, asbestos cancer, mesothelioma law suits, what is
mesothelioma, law offices, mesothelioma symptoms
Terimakasih anda telah membaca artikel tentang COASTAL UNION YAICHARAZA SINGIDA BLACK STARS 2-1 MKWAKWANI. Jika ingin menduplikasi artikel ini diharapkan anda untuk mencantumkan link https://viralsport.blogspot.com/2025/04/coastal-union-yaicharaza-singida-black.html. Terimakasih atas perhatiannya.