VIGOGO, Yanga watamenyana na wenyeji, KVZ katika mchezo wa Robo Fainali ya Kombe la Muungano Aprili 25 kuanzia Saa 2:15 usiku Uwanja wa New Amaan Complex, Zanzibar.
Robo Fainali nyingine ya michuano hiyo itazikutanisha wenyeji, JKU na Singida Back Stars Aprili 23, wenyeji, Zimamoto na Coastal Union Saa 10:15 na wenyeji wengine, KMKM dhidi ya Azam FC kuanzia Saa 2:15 usiku Aprili 24 Uwanja wa New Amaan Complex pia.
Nusu Fainali zitafuatia Aprili 27 na 28, wakati Fainali itachezwa Aprili 30 hapo hapo Uwanja wa New Amaan Complex.

Mabingwa watetezi, Simba wameshindwa kushiriki michuano ya mwaka huu kwa sababu wanakabiliwa na mechi za Nusu Fainali ya Kombe la Shirikisho Afrika dhidi ya Stellenbosch ya Afrika Kusini Aprili 20 nyumbani na Aprili 27 marudiano ugenini.
Simba SC ilitwaa michuano hiyo iliyoanza mwaka jana kuzimisha sherehe za Muungano wa Tanganyika na Zanzibar kwa ushindi wa 1-0 dhidi ya Azam FC katika Fainali Uwanja wa New Amaan Complex.
Bao pekee la Simba lilifungwa na kiungo Msenegal, Babacar Sarr, dakika ya 77 akimalizia mpira wa adhabu uliopigwa na beki Israel Patrick Mwenda kufuatia mshambuliaji Mcameroon, Leandre Willy Essomba Onana kuangushwa nje kidogo ya boksi.
Simba SC ilizawadiwa Sh. Milioni 50, wakati washindi wa pili, Azam FC walipata Sh. Milioni 30.
from BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE https://ift.tt/jrDFqBm
best mesothelioma law firms, mesothelioma attorneys, mesothelioma
lawyer, mesothelioma lawsuits, mesothelioma lawyers, mesothelioma
lawsuit, mesothelioma attorney, mesothelioma settlement, mesothelioma
lawsuit settlements, mesothelioma settlements, mesothelioma law firm,
lawyer mesothelioma, get a online mesothelioma law firm today,
mesothelioma claims, mesothelioma claim, malignant mesothelioma,
mesothelioma law, mesothelioma law firm california, mesothelioma
compensation, mesothelioma law firms, asbestos settlement, asbestos
claim, mesothelioma, asbestos lawsuit, asbestos lung cancer,
mesothelioma law suit, asbestos claims720, asbestos attorney,
mesothelioma lung cancer, mesothelioma causes, asbestos lawyer390,
mesothelioma cancer, asbestos lawsuits, asbestos lawyers, causes of
mesothelioma, asbestos cancer, mesothelioma law suits, what is
mesothelioma, law offices, mesothelioma symptoms
Terimakasih anda telah membaca artikel tentang YANGA NA KVZ, AZAM NA KMKM ROBO FAINALI KOMBE LA MAPINDUZI. Jika ingin menduplikasi artikel ini diharapkan anda untuk mencantumkan link https://viralsport.blogspot.com/2025/04/yanga-na-kvz-azam-na-kmkm-robo-fainali.html. Terimakasih atas perhatiannya.