RAIS wa klabu ya Yanga, Hersi Ally Said amesema kwamba mwaka ujao watajenga Uwanja wao kwa msaada wa Serikali.
Akizungumza kwenye Mkutano wa Viongozi wa Klabu Duniani ulioandaliwa na Taasisi ya World Football Summit (WFS) Jijini Rabat nchini Morocco, Hersi amesema kwamba klabu za Afrika zinakabiliwa na changamoto kubwa ya miundombimu ikiwemo ukosefu wa viwanja vyao wenyewe.
Afrika tuna changamoto nyingi, mojawapo tumeitaja ni miundombinu . Tumeona Ulaya klabu nyingi zinamiliki miundombinu, ikiwemo vifaa vya mazoezi, vituo vya mafunzo, pamoja na viwanja vya kuchezea mechi, ambayo ni tofauti na klabu nyingi za Afrika,” amesema Hersi ambaye pia Mwenyekiti wa Chama cha Klabu Afrika (ACA).
Ameongeza kwamba huwezi kuinua kipaji cha mchezaji kuwa cha kiwango bora bila ya kuwa na miundombinu na kuzipongeza baadhi ya klabu barani zenye miundombinu bora zikiwemo Al Ahly ya Misri.
“Kwa mfano klabu yangu, Yanga ni moja ya klabu kubwa ya umri wa miaka 90, lakini kusema ukweli hatuna Uwanja wetu wenyewe. Lakini uongozi wetu ndani ya mwaka mmoja ujao kwa msaada wa Serikali tutajenga Uwanja,”amesema Hersi.
Katika Mkutano huo, WFS ilimtunukia Tuzo Hersi kwa kazi yake nzuri ya kuziunganisha klabu barani Afrika akiwa Mwenyekiti wa ACA.
TAZAMA VIDEO RAIS WA YANGA AKIZUNGUMZA KWENYE MKUTANO WA WFS
from BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE https://ift.tt/ZuYPED6
best mesothelioma law firms, mesothelioma attorneys, mesothelioma
lawyer, mesothelioma lawsuits, mesothelioma lawyers, mesothelioma
lawsuit, mesothelioma attorney, mesothelioma settlement, mesothelioma
lawsuit settlements, mesothelioma settlements, mesothelioma law firm,
lawyer mesothelioma, get a online mesothelioma law firm today,
mesothelioma claims, mesothelioma claim, malignant mesothelioma,
mesothelioma law, mesothelioma law firm california, mesothelioma
compensation, mesothelioma law firms, asbestos settlement, asbestos
claim, mesothelioma, asbestos lawsuit, asbestos lung cancer,
mesothelioma law suit, asbestos claims720, asbestos attorney,
mesothelioma lung cancer, mesothelioma causes, asbestos lawyer390,
mesothelioma cancer, asbestos lawsuits, asbestos lawyers, causes of
mesothelioma, asbestos cancer, mesothelioma law suits, what is
mesothelioma, law offices, mesothelioma symptoms
Terimakasih anda telah membaca artikel tentang YANGA KUJENGA UWANJA WAKE MWAKANI KWA MSAADA WA SERIKALI. Jika ingin menduplikasi artikel ini diharapkan anda untuk mencantumkan link https://viralsport.blogspot.com/2025/04/yanga-kujenga-uwanja-wake-mwakani-kwa.html. Terimakasih atas perhatiannya.