TIMU ya Singida Black Stars imeibuka na ushindi wa mabao 3-0 dhidi ya wenyeji, Fountain Gate FC katika mchezo wa Ligi Kuu ya NBC Tanzania Bara leo Uwanja wa Tanzanite Kwaraa mjini Babati mkoani Manyara.
Mabao ya Singida Black Stars yamefungwa na nyota kutoka Ghana, mshambuliaji Jonathan Sowah dakika ya 30, beki Kwabena Frank Assinki dakika ya 56 na kiungo, Emmanuel Kwame Keyekeh dakika ya 71.
Kwa ushindi huo, Singida Black Stars inafikisha pointi 47 katika mchezo wa 24 ingawa inabaki nafasi ya nne nyuma ya Azam FC yenye pointi 48 baada ya kucheza mechi 23, wakati Fountain Gate inabaki na pointi zake 28 za mechi 24 sasa nafasi ya saba.
from BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE https://ift.tt/KNGpvLX
best mesothelioma law firms, mesothelioma attorneys, mesothelioma
lawyer, mesothelioma lawsuits, mesothelioma lawyers, mesothelioma
lawsuit, mesothelioma attorney, mesothelioma settlement, mesothelioma
lawsuit settlements, mesothelioma settlements, mesothelioma law firm,
lawyer mesothelioma, get a online mesothelioma law firm today,
mesothelioma claims, mesothelioma claim, malignant mesothelioma,
mesothelioma law, mesothelioma law firm california, mesothelioma
compensation, mesothelioma law firms, asbestos settlement, asbestos
claim, mesothelioma, asbestos lawsuit, asbestos lung cancer,
mesothelioma law suit, asbestos claims720, asbestos attorney,
mesothelioma lung cancer, mesothelioma causes, asbestos lawyer390,
mesothelioma cancer, asbestos lawsuits, asbestos lawyers, causes of
mesothelioma, asbestos cancer, mesothelioma law suits, what is
mesothelioma, law offices, mesothelioma symptoms
Terimakasih anda telah membaca artikel tentang SINGIDA BLACK STARS YAICHAPA FOUNTAIN GATE 3-0 MANYARA. Jika ingin menduplikasi artikel ini diharapkan anda untuk mencantumkan link https://viralsport.blogspot.com/2025/04/singida-black-stars-yaichapa-fountain.html. Terimakasih atas perhatiannya.