
MABINGWA watetezi, Yanga SC wameibuka na ushindi wa mabao 2-1 dhidi ya wenyeji, Azam FC katika mchezo wa Ligi Kuu ya NBC Tanzania Bara leo Uwanja wa Azam Complex, Chamazi, Dar es Salaam.
Chachu ya ushindi wa Yanga ni leo mshambuliaji wa zamani wa Azam FC, Mzimbabwe Prince Dube Mpumelelo aliyetoa pasi ya bao la kwanza lililofungwa na kiungo Muivory Coast, Peodoh Pacome Zouzoua dakika ya 11, kabla ya yeye mwenyewe kufunga la pili dakika ya 34 akimalizia pasi ya kiungo Mudathir Yahya Abbas.
Bao pekee la Azam FC limefungwa na beki Lusajo Elukaga Mwaikenda dakika ya 81 akimalizia mpira wa adhabu uliopigwa na kiungo Feisal Salum Abdallah kutoka upande wa kulia wa Uwanja karibu kabisa na eneo la kupigia kona.
Kwa ushindi huo, Yanga SC inafikisha pointi 67 katika mchezo wa 25 na kuendelea kuongoza Ligi Kuu kwa pointi 10 zaidi ya Simba SC ambao hata hivyo wana mechi tatu mkononi.
Kwa upande wao Azam FC baada ya kupoteza mchezo huo wanabaki na pointi zao 51 katika nafasi ya tatu wakiizidi pointi moja Singida Black Stars baada ya timu zote kucheza mechi 26.
from BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE https://ift.tt/hIzNdpM
best mesothelioma law firms, mesothelioma attorneys, mesothelioma
lawyer, mesothelioma lawsuits, mesothelioma lawyers, mesothelioma
lawsuit, mesothelioma attorney, mesothelioma settlement, mesothelioma
lawsuit settlements, mesothelioma settlements, mesothelioma law firm,
lawyer mesothelioma, get a online mesothelioma law firm today,
mesothelioma claims, mesothelioma claim, malignant mesothelioma,
mesothelioma law, mesothelioma law firm california, mesothelioma
compensation, mesothelioma law firms, asbestos settlement, asbestos
claim, mesothelioma, asbestos lawsuit, asbestos lung cancer,
mesothelioma law suit, asbestos claims720, asbestos attorney,
mesothelioma lung cancer, mesothelioma causes, asbestos lawyer390,
mesothelioma cancer, asbestos lawsuits, asbestos lawyers, causes of
mesothelioma, asbestos cancer, mesothelioma law suits, what is
mesothelioma, law offices, mesothelioma symptoms
Terimakasih anda telah membaca artikel tentang YANGA SC YAICHAPA AZAM FC 2-1 CHAMAZI. Jika ingin menduplikasi artikel ini diharapkan anda untuk mencantumkan link https://viralsport.blogspot.com/2025/04/yanga-sc-yaichapa-azam-fc-2-1-chamazi.html. Terimakasih atas perhatiannya.